naringa - zuchu lyrics
sing mmmhh eeeehh
let sing, comeon eeh
sioni aibu, kwa kila linalonifika
mana kukosea ni wajibu
mola ameshaandika
na sianguuki, mimi nimechaguliwa
nnae mtegemea hachooki
hajawahi kupitiwa
mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
vinanipa ujasiri
nakua gado kamili
ukitaka kunidhuru mie
upite kwakwe kwanza
mungu w*ngu halali
ana ulinzi mkali
na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
nalindwa na mungu
msinione navimba navimba navimba navimba navimba
nalindwa na mungu
raise your glass
cheers to the lord
roho mbaya ubinafsi hajaumbiwa nyungunyungu
wala mtu mwenye maarifa
kweli mabaya sikosi, najua mazuri yangu
mtayasema nikifa aaeh
unaniona napamdana, kwa tabu na dhoruba
nilinde virogo vya walimwengu visinifike ng’o
utadhani wao hawana, umewapa vikubwa
ila bado hiki kidogo changu kinawatoa rohoo
he
na sianguuuki mimi nimechaguliwa aahh
nnae mtegemea hachooki
hajawahi kupitiwa
mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza
vinanipa ujasiri
nakua gado kamili
ukitaka kunidhuru mie
upite kwakwe kwanza
mungu w*ngu halali
ana ulinzi mkali
na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa
nalindwa na mungu
msinione navimba navimba navimba navimba navimba
nalindwa na mungu
Random Song Lyrics :
- sto troppo bene - giannini lyrics
- hero - wild specs lyrics
- sour grape three loko - emo fruits lyrics
- coast to coast - diyoute lyrics
- hearteater (interlude) - sinneyy lyrics
- got lost - pure flow lyrics
- 5 star hotel - touchmoney cease lyrics
- hot like jungle - pottery lyrics
- solo amore - altri3 lyrics
- por um bem maior - amados do eterno lyrics