mrembo - t.i.d. "mnyama" lyrics
[chorus: t.i.d.]
nasema tena mrembo
oh, oh
nasema tena mrembo
(wewe, wewe)
mrembo w*ngu niambie wewe nini unataka
(wewe sema tu)
pendo lako kw*ngu mimi (?)
(mrembo)
mrembo w*ngu niambie wewe nini unataka
(sema tu)
pendo lako kw*ngu mimi (?)
[verse 1]
macho yako kama gololi
pua zako za mmaasai
midomo yako minene, sina lakusema tena wewe
popote niendako, chochote nifanyacho nakuwaza wewe…
mrembo, oh
[chorus]
mrembo w*ngu niambie wewe nini unataka
(we sema tu)
pendo lako kw*ngu mimi (?)
(na*na*na, mrembo)
mrembo w*ngu niambie wewe nini unataka
(we sema tu)
pendo lako kw*ngu mimi (?)
[verse 2]
popote niendako, chochote nifanyacho nakusaka wewe…
mrembo, oh
miaka na (?) kwa hudi na ubani
sikuoni wewe…
mrembo, oh
[chorus]
mrembo w*ngu niambie wewe nini unataka
(we sema tu)
pendo lako kw*ngu mimi (?)
(na*na*na, mrembo)
mrembo w*ngu niambie wewe nini unataka
(we sema tu)
pendo lako kw*ngu mimi (?)
[pre*chorus]
hawanitishi, tishi
(gado)
hawanibabaishi
(ngangari)
ile mipango vipi?
(sema nao)
tuliagana vipi?
(gado)
hawanitishi, tishi
(ngangari)
hawanibabaishi
(gado)
ile mipango vipi?
(ooh, yeah)
tuliagana vipi…?
(ooh, yeah)
yeah, yeah, yeah, yeah, yeah
na*na*na
[outro]
mrembo w*ngu niambie wewe nini unataka
(we sema tu)
pendo lako kw*ngu mimi (?)
we sema nami, sasa hivi
(mrembo)
mrembo w*ngu niambie
(we niambie, nini unataka)
(sema tu)
pendo lako kw*ngu mimi (?)
(nitakupa gari, nitakupa fedha)
mrembo w*ngu, niambie wewe nini unataka
(nitakupa kila kitu mi nasema)
au hunielewi, wewe mtoto vipi?
(sema tu)
pendo lako kw*ngu mimi [?]
nakuambia, tia akili
kila kitu, kila kitu mimi nitakupa…
(fades away)
Random Song Lyrics :
- we're an american band - bpmd lyrics
- playboy - gita youbi lyrics
- till we collide - blanche lyrics
- don't let it end [caught in the act] - styx lyrics
- jrahni baad - badria essaied lyrics
- can't sleep anymore - osmandiety lyrics
- ormq solo - lexpair lyrics
- tattoo vampire - bpmd lyrics
- the little man who wasn't there - odd chap lyrics
- ich spür’ wie die liebe zerbricht - ben zucker lyrics