![lirikcinta.com](https://www.lirikcinta.com/statik/logonew.png)
asha - t.i.d. "mnyama" lyrics
[intro]
uh!
[verse 1]
mwenzio niko taabani
mathalani ya hatiani
huk*mu yangu ni kifungo
na huyu binti (na huyu binti)
vicheche sasa mimi basi (basi)
ubachela mimi nauaga
majuk*mu nayapata, bae
riziki anatoa maanani
lazima mke w*ngu anijali
nakupa moyo w*ngu please usiutoboe
nnapo kuwa niko busy
tafadhali usinichukie
natafuta pesa
natafuta pesa
[chorus]
roho yangu inachoma sana (mimi)
lini nitakuwa na pesa
nimuoe asha
roho yangu inachoma sana (mimi)
lini nitakuwa na pesa
nimuoe asha
itakuwa tafrani, hizo chereko na vifijo
pamoja na wazazi, ‘siku yetu ya harusi
nakupa moyo w*ngu please don’t hurt me (don’t hurt me)
nafsi yangu, ‘nafsi yangu imetua kwako
itakuwa tafrani, hizo chereko na vifijo
pamoja na wazazi, ‘siku yetu ya harusi
nakupa moyo w*ngu please don’t hurt me (don’t hurt me)
nafsi yangu, ‘nafsi yangu imetua kwako
roho yangu inachoma sana (mimi, lini)
lini nitakuwa na pesa (pesa)
nimuoe asha (asha)
roho yangu inachoma sana (mimi, ooh*ooh)
lini nitakuwa na pesa (pesa, baby)
nimuoe asha (? girl)
you’re my heart, my pain, my (?), my (?), my star, my love
you’re my angel
you’re my heart, my pain, my (?), my (?), my star, my love
you’re my angel
[chorus]
roho yangu inachoma sana (mimi)
lini nitakuwa na pesa
nimuoe asha
roho yangu inachoma sana (mimi)
lini nitakuwa na pesa
nimuoe asha
Random Song Lyrics :
- successo - natimernero lyrics
- contra ft orking - korsan - contra lyrics
- sleep thru monday - bomb the music industry! lyrics
- tourist - noisy lyrics
- just friends - sawelliy lyrics
- calm down - luckysha lyrics
- reza - tatiana delalvz & danny romero lyrics
- i love you - jax anderson lyrics
- whirlwind - synead lyrics
- citygang - citygang lyrics