
asha - t.i.d. "mnyama" lyrics
[intro]
uh!
[verse 1]
mwenzio niko taabani
mathalani ya hatiani
huk*mu yangu ni kifungo
na huyu binti (na huyu binti)
vicheche sasa mimi basi (basi)
ubachela mimi nauaga
majuk*mu nayapata, bae
riziki anatoa maanani
lazima mke w*ngu anijali
nakupa moyo w*ngu please usiutoboe
nnapo kuwa niko busy
tafadhali usinichukie
natafuta pesa
natafuta pesa
[chorus]
roho yangu inachoma sana (mimi)
lini nitakuwa na pesa
nimuoe asha
roho yangu inachoma sana (mimi)
lini nitakuwa na pesa
nimuoe asha
itakuwa tafrani, hizo chereko na vifijo
pamoja na wazazi, ‘siku yetu ya harusi
nakupa moyo w*ngu please don’t hurt me (don’t hurt me)
nafsi yangu, ‘nafsi yangu imetua kwako
itakuwa tafrani, hizo chereko na vifijo
pamoja na wazazi, ‘siku yetu ya harusi
nakupa moyo w*ngu please don’t hurt me (don’t hurt me)
nafsi yangu, ‘nafsi yangu imetua kwako
roho yangu inachoma sana (mimi, lini)
lini nitakuwa na pesa (pesa)
nimuoe asha (asha)
roho yangu inachoma sana (mimi, ooh*ooh)
lini nitakuwa na pesa (pesa, baby)
nimuoe asha (? girl)
you’re my heart, my pain, my (?), my (?), my star, my love
you’re my angel
you’re my heart, my pain, my (?), my (?), my star, my love
you’re my angel
[chorus]
roho yangu inachoma sana (mimi)
lini nitakuwa na pesa
nimuoe asha
roho yangu inachoma sana (mimi)
lini nitakuwa na pesa
nimuoe asha
Random Song Lyrics :
- fences - zack de la rouda lyrics
- interlude/apathy - awkward marina lyrics
- running in circles - bad omens lyrics
- grateful (always somethin’) - bobby sessions lyrics
- tatou po ula - the samoan surfriders lyrics
- des armes et des hommes - kofs lyrics
- tommy! - krishu lyrics
- hold mi tight - masicka lyrics
- out of the sky - marc almond lyrics
- vai se preparando - noc jackson lyrics