
majaribu - steve rnb lyrics
[intro]
(ready)
[verse 1]
natamani mi nitoke
siko happy, siko okay
nahisi kama nimepotea
mengi majaribu
amenipa upendo wote
hakubakiza chochote
nahisi maumivu yake
ah, majaribu
[hook]
jaribu
jaribu
namuomba mungu aniepushe na aibu
[verse 2]
nilidhani siku zote
yako hivi siku zote
mapenzi kw*ngu yamepotea
na jaribu (oh, oh)
[verse 3]
hivi alinituma nani
au nani anajua thamani
haya mapenzi yalikuwa zamani
bado na jaribu (majaribu)
[chorus]
jaribu
jaribu
namuomba mungu aniepushe na aibu
jaribu
jaribu
namuomba mungu aniepushe na aibu
[post*chorus]
mengi majaribu
mara maumivu
sina haja ya kuigiza
wala [kuumiza] moyo (yo)
mengi majaribu
mara maumivu
sina haja mi kuigiza
wala [kuuibia] moyo
[hook]
majaribu
mara maumivu
siko tayari mi kuigiza
mara [kuumia] moyo, yeah
[verse 4]
natamani mi nitoke
siko happy, siko okay
nahisi kama nimepotea
mengi majaribu
amenipa upendo wote
hakubakiza chochote
nahisi maumivu yake
haya majaribu
[chorus]
jaribu
jaribu
namuomba mungu aniepushe na aibu
jaribu
jaribu
namuomba mungu aniepushe na aibu
[post*chorus]
mengi majaribu
mengi maumivu
sina haja ya kuigiza
wala
mengi majaribu
mengi maumivu
sina haja ya kuigiza
wala
mеngi majaribu
mengi maumivu
sina haja ya kuigiza
wala kuumia moyo
[inaudible drop]
Random Song Lyrics :
- hyper - aya nakamura lyrics
- 2k24 - daiboo lyrics
- не волнуйся (don't worry) - eroiera, polina offline lyrics
- estado de fuga - xadu lyrics
- sí señor (directo) - leno (esp) lyrics
- seu jogo - gutierrez castro lyrics
- we have come to glorify - the donut man (usa) lyrics
- ruk jaa - asteller lyrics
- white christmas - kris e. (usa) lyrics
- nowy świat - coals lyrics