poa - shebby medicine lyrics
intro:
switch, s2keezy baby/
verse 1:
mi kw-ngu halitia maji, ila haikatishi tamaa/
mi bado naishi kwa imani, ipo siku utabadilika/
naona kama ndoto, kugeuza maji kuwa moto/
umenifanya mtoto, kuniliza mbele ya mashoga zako/
nakua mwoga kuamini, labda macho yangu mi ndo tatizo/
kile nachokiona siamini, nahisi labda….. /
hook:
j-po sili sikomi, kama mchawi ni yeye/
we mweleze sikomi, k-mpenda yeye/
anipe moyo wake, maana kauli nakosa/
urafiki na moyo wake, maana kauli nakosa/
chorus:
asichukulie poa (asichukulie poa) /
kuumia sana inaboa (kuumia sana inaboa) /
asichukulie poa… aaah (asichukulie poa) /
kuumia sana inaboa.. aaah (kuumia sana inaboa) /
verse 2:
dawa ya mua fundo, yamekata imekua ngumu/
penzi lataka lindo, kuliweka mbali na sumu/
naogopa urafiki na pombe, mwenzake hivo sijazoea/
kuzurura kwenye vilinge, wenda nyota hazijafanania/
aga! nijiliwaze kwa nyimbo gani, maana hata zangu nishajiimbia/
mwenzake hata kula sitamani, yamenifika ya dunia/
hook:
j-po sili sikomi, j-po mchawi ni yeye/
we mweleze sikomi, k-mpenda yeye/
anipe moyo wake, maana kauli nakosa/
urafiki na moyo wake, mwenzenu kauli nakosa/
chorus:
asichukulie poa (asichukulie poa) /
kuumia sana inaboa (kuumia sana inaboa) /
asichukulie poa… aaah (asichukulie poa) /
kuumia sana inaboa.. inaboa (kuumia sana inaboa) /
Random Song Lyrics :
- maybe - lindy hagen lyrics
- sin pijama - miway lyrics
- cigarillo - pete yorn & scarlett johansson lyrics
- sleep talking dreams - tademn lyrics
- easy tiger - portugal. the man lyrics
- so dumb - lp rambo lyrics
- europa - daamcp lyrics
- teman rasa pacar - duo amor lyrics
- dark sister - inside electron lyrics
- in the cove - madame macabre lyrics