nihurumie - seba tommy lyrics
[intro]
turuu turu turu..
[verse 1]
eeh mama alisema nisije kupenda.. nisije kupenda
ila nilipo kuona nilishindwa kujizuia eeh
i wish labda nisinge kuona.. nisinge kuona
huenda mpaka sasa moyo ungetulia eeh
natamani nifute hata namba na picha huenda nikakusahau
lakini nagundua kwamba siyo tija tayari upo moyoni
hata kama nikisema nisipende nitadanganya
sababu nishapenda na we unajua
labda ningefata maneno aliyoniambiaga maa
yakwamba nisipende mpaka nikikua
[chorus]
ati kweli ati hunipendi au unadanganya?
ati kweli ati mbona naona kama unachanganya?
ati kweli ati hunipendi au unadanganya?
wewe ati kweli ati mbona naona kama unachanganya?
[bridge]
lalaa lalaala
ooh baby baby
lalaa lalaala
ooh nihurumie
lalaa lalaala
ooh baby baby
lalaa lalaala
basi nihurumie
Random Song Lyrics :
- nanana - royal crescent mob lyrics
- savage - jimi noel lyrics
- no love - king tev lyrics
- blu - lil patts lyrics
- mee naar huis - individuals (nl) lyrics
- dark rooms - ac breeze lyrics
- sweet 16 - lilthaiprince lyrics
- search and destroy (wabx fm 1973) - the stooges lyrics
- ehba - belgian asociality lyrics
- below the waterline - jason eady lyrics