sina remix - rj the dj lyrics
[intro : rj the dj]
rj the dj all day baby
[verse 1 : brother nassir]
nipende kama hurem sulemani
usiende kwa mwingine ukatamani
sinitende ukaja nidhurumu honey
tamu tende unilishe ayuni
oh niliwaze moyo w*ngu uwe baridi
nidekeze wala nyuma usirudi
huba langu sinifanyie kusudi
uwe w*ngu waumie mahasidi
huba liwe mfano kote ulimwenguni
na wadhahabu wino waandike vitabuni
ruhy nipende mno, mengine kw*ngu wanini
nasema baby kwengine mimi nikafwate nini
[hook : yammi]
aaaa aaaa aaaaa
mwingine sina
aaaaaaaaaaa
mwingine sina
aaaaaa aaaaaa
sina mwingine
[verse 2 : yammi]
nimetuliazana baby, mimi ni wako daima
kwako nishafika honey, acha pupa papara
unidekeze tuchеze cheze
umеniteka
w*ngu honey hayuni, mapenzi yako jamani
wanipumbaze akili, mwingine simtamani
tupendane kwa yakini, niwe wako w*ngu mimi
tushakula na yamini, mi nawe mpaka peponi
[hook : yammi]
aaaa aaaa aaaaa
mwingine sina
aaaaaaaaaaa
mwingine sina
aaaaaa aaaaaa
sina mwingine
[outro : rj the dj]
ladies and gentlemen
they call me rj, the dj
and i thank you so much for listening
awote
Random Song Lyrics :
- puzzle - young pit & friz lyrics
- knocking on all i ever knew - timothy morris lyrics
- atoms (the world is our hood) - turbo t. double lyrics
- sosnowiec - leh lyrics
- tot en met - hef lyrics
- why coconut sugar is the most healthy sweetener - tanihood.com lyrics
- peterparkermaryjane - tah-o lyrics
- triple threat - cardiff brothers lyrics
- the beginning - chello lyrics
- mahalia - sho baraka lyrics