haya we - quidado lyrics
Loading...
[verse]
umekwa kama popo
usiku haulali
unakesha na makopo
mapenzi yetu haujali
penzi lako la utoto
unanipa mtihani
umezidisha mikogo
wanakuita hayawani
majirani wanahoji tabia zako ila hukomi
chonde chonde jitazame usoni
[bridge]
ukisema nivumilie unanipaka matope penzi lako niogope mbona we mapepe heeeeey
[chorus]
haya we
jikute una shobo
watokana vigogo watakupiga zongo
hee hehee
jikute una shobo wotokana vigogo watakupiga zongo hee iiyaaa
verse2
baby yooh mwenzio naumia unanifanya nikonde hee eeh
mtihani yeeh unayonipatia bora uondokee hee eeeh
umenipanda kichwani
umenifanya hayawani
nach0r-ka masikani
sina dhamani
Random Song Lyrics :
- the letter q song - abcmouse.com early learning academy lyrics
- thousand yard stare - allen epley lyrics
- please come home for christmas - mikhala jené lyrics
- city lights (radio edit) - mario de bellis lyrics
- ruthless (ما برحم) - bea kadri lyrics
- christmas overload - connor mcquillan lyrics
- my destiny - think twice [austria] lyrics
- salem romantics - radio compass lyrics
- swrdfsh - austin marc & blvck svm lyrics
- upper room - akai solo lyrics