hit me with music - prince bernard lyrics
nirahisi kinywa kujawa na lawama tele pale mambo yanapoonekana hayaendi ni ajabu sana namna moyo unahangaika (kutafuta majibu)
ajabu sana moyo unavyoonyesha mashaka yakwamba j-pokuwa mungu anaishi ndani yangu kuna muda nahofu j-pokua mungu anaketi kati yetu kuna muda nahofu
ahh nak-mbuka wana wa israel katika bahari ya shamu j-po walikatiza katikati ya bahari kwa ushindi, kwa nyimbo nyingi waliimba na k-msifu bwana lakini baada ya kuvuka na kuliona jagwa yalibadilika mambo manung’uniko yalisimama na kusahau muujiza alotenda bwana mwanzo
bridge -nik-mbushe wema wako nisije laumu
nik-mbushe ukuu wako wakati wa magumu
nik-mbushe shuhuda zako ili nikusifu
niimbe wimbo wa sifa katikati ya machozi.
nisaidie kuk-mbuka yesu yakwamba umenichora kiganjani mwako kati ya wengi walioko duniani na mimi umeniona
nik-mbushe baba ya kwamba ni wewe umeniponya nilipoumwa
nik-mbushe yesu kwamba ni wewe mlipaji wa ada yangu shuleni
yakwamba labda ungeniacha hatua moja nisingeliweza kufika hapa nilipo yakwamba baba umenikung’uta mavumbi na kuniheshimisha
nik-mbushe yesuu, nik-mbushe baba
nik-mbushe èeeh
Random Song Lyrics :
- beau - luther (fr) lyrics
- the way you waved goodbye - colosseum lyrics
- zeno sama - green kanvaz lyrics
- ya lo sé (live banda version staples) - jenni rivera lyrics
- dolly dilly doggy dog doo - michaela dietz lyrics
- luz del mundo - generación 12 lyrics
- being right - crown lands lyrics
- hot girl bummer - sammie beare lyrics
- nvsf - security lyrics
- dark knight 2 - kid cobra lyrics