mawazo - phellic & sugz lyrics
[intro: sugz]
yeah
[verse 1: sugz]
ulisema ukaniahidi
utanipenda utanthamini
ukanitenda ukankatiri, mieeehh
milega hum tumse ki mahaba
hakika yalishamiri mapenzi mahaba
heeh, milega hum tumse ki mahaba
hakika yalishamiri mapenzi mahaba
[pre*chorus: sugz]
nafikiria nafikiri
nikikuomba msamaha, utakubali
nafikiria nafikiri
nikikuomba msamaha, utakubali ehhh
[chorus: sugz]
mawazo, ohwooh*wowooh*wowooh
mawazo, aya yahya yayah
mawazo, ohwooh*wowooh*wowooh
mawazo
[verse 2: ph*llic]
ulitambua ukasema
kwamba wewe wanipenda
yale yote tulopitia
k*mbe yalikuwa bandia
ungesema toka mapema
kila kitu ungeniambia
kwamba wewe ushapata
mwingine wa kufaa
[chorus: ph*llic]
mawazo, wewe umeniachia (wewe umeniachia)
mawazo, moyo w*ngu unauma (moyo w*ngu unauma)
mawazo, wewe umeniachia (wewe umeniachia)
mawazo, moyo w*ngu unauma (moyo w*ngu unauma)
[pre*chorus: ph*llic]
nafikiria nafikiri
nikikuomba msamaha, utakubali
nafikiria nafikiri
nikikuomba msamaha, utakubali
[chorus: both, ph*llic]
mawazo, wewe umeniachia
mawazo, moyo w*ngu unauma
Random Song Lyrics :
- gay looking boy - cusa lyrics
- the stitcher - gish lyrics
- sleep well - jessica mazin lyrics
- precious paranoia - nikko beason lyrics
- heroes - bill sutton lyrics
- baller - dummbyoshua lyrics
- dam - hook lyrics
- one of them days - jahan nostra lyrics
- gingersnap - desperado - kid citrus lyrics
- came up - ron deuce lyrics