acha waseme - otile brown lyrics
kama riziki unatoa, basi ntakosa
ila kama ni mola lazima ntapata×2
bwana shetani muongo , muongo we!
mbona umejawa na kinyongo ndugu we!×2
bwana niambie x3 wapi nilipokuudhi naomba uniambie
mana sio sawa kama we wanichukia , nia njema nlio nayo kwako ndo mafanikio yangu , wakati mimi nakuombea mema , waniwazia mbaya ooh sio sawa
ooh so sawa
ooh dhamira yangu ndo nguzo yangu ×2
acha waseme , acha waonge ×2
wewe unanichukuia ata zaidi unavojipenda
unafikiri nafikiri unavyofikiria mana nia zako sio njema
chochote nachofanya unanielewa makosa
lolote nachofanya unanihuk*mu vibaya
wapi nilipokukosea ningependa unieleze
wapi nilipokuudhi ningependa uniambie
maana sio sawa kama wewe wanichukia , nia ooh njema nlio nayo kwako ndio mafanikio yangu
wakati mimi nakuombea meme , waniwazia mabaya ooh so sawa
ooh dhamira yangu , ndo nguzo yangu
ooh wema w*ngu ndo nguzo yangu ×2
acha waseme , acha waongee×4
Random Song Lyrics :
- forgot how to cry - brandon can't dance lyrics
- j'ai finis tout seul - zbatata lyrics
- country house - mackned lyrics
- kami phénomène - intro -lyrics - kami phénomène lyrics
- wait - brianna lyrics
- can you feel the love tonight - anson seabra lyrics
- kick 'em - aklf lyrics
- acorrentado - uzzy lyrics
- rose golden - kid cudi lyrics
- whoisyou? - king havok lyrics