huwezi jua - nadu lyrics
[intro]
mhhhhh
huwezi jua ulicho nacho
nataka ufungue macho
verse 1:
ulisema ni mimi pekee
nikakupa
moyo w-ngu
(si mulikua na ndoto kubwa)na
(raha mstarehe )na
maisha milele mpenzi mimi na yeye (kwanini)
sielewi
kwanini (nieleze)
chorus:
mapenzi chanzo cha raha
mapenzi chanzo cha diki
mapenzi chanzo cha raha
mapenzi dhiki x2
verse 2:
uliniacha mashakani
gizani
ukatoweka
bila sababu
(na vile mlikua na ndoto kubwa na ataka umsamehe)
na siwezi rudi tena mi nishasonga mbele
(kwanini) sirudi nyuma
(kwanini) nimechoka
chorus:
mapenzi chanzo cha raha
mapenzi chanzo cha diki
mapenzi chanzo cha raha
mapenzi dhiki x2
bridge:
mhhh mhhh mhhhh
huwezi jua ulicho nacho mpaka kipotee
nataka ufungue macho nikuelezee
huwezi jua ulicho nacho mpaka kipotee
nataka ufungue macho nikuelezee
huwezi jua ulicho nacho mpaka kipotee
nataka ufungue macho nikuelezee
Random Song Lyrics :
- mountain heart - church of the cosmic skull lyrics
- your mother's only daughter - smokey robinson and the miracles lyrics
- disbelief - i, the mapmaker lyrics
- dupa vinul asta plec - gani lyrics
- california - mina lyrics
- karate kid - frank cope lyrics
- sentinel - transglobal underground lyrics
- xamego - luiz gonzaga lyrics
- king of morning, queen of day - horslips lyrics
- a slice of heaven - korean pop lyrics