![lirikcinta.com](https://www.lirikcinta.com/statik/logonew.png)
jinga sana - menace himself lyrics
[intro]
eeh
good at being bad
menace himself
cheki
[verse]
jinga sana acha ku kazana
kazi ya kizazi ndio mi napendaga sana
sitendi wema, naenda zangu bana
teka msupeng’ na umpeleke na rada
alafu siku izi niko rieng
kutoka nianze mboka, mf*ko nina ma weng’
na nina vifaa wenye nashindaga na beng’
ninamaanisha mchezo ya mjulubeng’
aah aah, na mi stambuagi cool kid
mtaa imenilea hainaga iyo upuzi
nyima nyemelea, tabia hiyo sijui
orea aina hiyo ndio mi naitaga ngui
nammengoja hii kitu sana
tulia uskizie menace na club banger
ni hivo wathii
hii namalizia hapa, na naamini round next tuta patana
jinga sana acha ku kazana
kazi ya kizazi ndio mi napendaga sana
sitendi wema, naenda zangu bana
teka msupeng’ na umpelеke na rada
alafu siku izi niko rieng
kutoka nianze mboka, mf*ko nina ma wеng’
na nina vifaa wenye nashindaga na beng’
ninamaanisha mchezo ya mjulubeng’
Random Song Lyrics :
- la gravedad - pignoise lyrics
- primary partner in pittsburgh - cheese on bread lyrics
- end of eva - original god lyrics
- break 'em off - luu breeze lyrics
- restless - the seeking lyrics
- осколки (fragments) - аукцыон (auktyon) lyrics
- waasa kamindo - samuel mutaki lyrics
- given to fly [sept. 1st 2005] - pearl jam lyrics
- some more - tayetaye lyrics
- bar mitzvah - nissim ourfali lyrics