pili pili - matonya lyrics
mi natamani moyo ungekuwa kiwanja ningekupa ujenge kama ruby, dhahabu, ndio ticket ningechimba kwa jembe
ulivyo umbika mamaa nyuma kama mlima eeh usije niacha na ndoto kwenye kona haki ya nani nitazima
mi ndo wako mtimaa maa we dumuzi nimalizee(nimalizee eeh) sitaki nikukosee we nimalize aaai
pilipili wewee(pilipili inaniwasha) pilipi pilipi(pilipili inaniwasha) pilipili wewee(pilipili inaniwasha) pilipi pilipi(pilipili inaniwasha)
hata ukiweka kwa maji bado tu inaniwasha ukichombeza na ndizi je? bado tu itaniwasha
penzi letu liwe siri(tarama) kuepusha majangili(tarama) wasije pora watanikili(tarama) nishinde mkono wa shavu sio dili(tarama)
nina mipango mingi nawee tokea zamani ugomvi wa simu tupa kulee kizamani
aii baby mi nawee(nichum chum) wali tupakulee(nichum chum) eh mi nawee(nichum chum) baby mpaka kulee
aii baby mi nawee wali tupakulee eh mi nawee menya ndizi nilee
pilipili wewee(pilipili inaniwasha) pilipi pilipi(pilipili inaniwasha) pilipili wewee(pilipili inaniwasha) pilipi pilipi(pilipili inaniwasha)
hata ukiweka kwa maji bado tu inaniwasha ukichombeza na ndizi je? bado tu itaniwasha
pilipili wewee(pilipili inaniwasha) pilipi pilipi(pilipili inaniwasha) pilipili wewee(pilipili inaniwasha) pilipi pilipi(pilipili inaniwasha)
aii baby mi nawee(nichum chum) wali tupakulee(nichum chum) eh mi nawee(nichum chum) baby mpaka kulee
aii baby mi nawee wali tupakulee eh mi nawee menya ndizi nilee
nichum chum nichum chum nichum chum nichum chum
Random Song Lyrics :
- usual suspects (hate on me) - jram-c lyrics
- 백일몽 (daydream) - lovelyz lyrics
- without you - gemini genesis lyrics
- i'm that... (remix) - r. city lyrics
- in a trance - south park mexican lyrics
- big lights - yonder mountain string band lyrics
- sucker mc - lordz of brooklyn lyrics
- take it out on me - bohnes lyrics
- someday - kent harley ones lyrics
- werk me (clean) - hyper crush lyrics