nyumbani - lady jay dee lyrics
[intro]
(daxo wa chali)
unanipendezea ‘nnapo tembea
ukitabasamu
mi napata raha, unanivutia ukiniangalia
dunia yangu ‘ina kamilika
uwapo tu ‘hapa nyumbani
nikisema ni wewe
elewa ni wewe
unae nipa kiwewe
hapa nyumbani
nilia po nyumbani
(ai, ai, mama we)
niketi po chumbani
(ai, ai, mama we)
najionea, najihisia
najionea (nyumbani)
najionea
mahaba tu, nyumbani
najionea, najihisia
najionea (nyumbani)
najionea
mahaba tu, nyumbani
siichoki sura yako
nalo tamu penzi lako
nzuri sauti yako, na ucheshi wako
safari yangu kwako
penzi langu ni lako
maisha yangu ‘ya kwako
ya kwako tu
kwako tu
hapa nyumbani
nikisema ni wewe
elewa ni wewe
unae nipa kiwewe
hapa nyumbani
nilia po nyumbani
(ai, ai, mama we)
niketi po chumbani
(ai, ai, mama we)
najionea, najihisia
najionea (nyumbani)
najionea
mahaba tu, nyumbani
najionea, najihisia
najionea (nyumbani)
najionea
mahaba tu, nyumbani
…
(ai, ai, mama we)
…
(ai, ai, we)
najionea, najihisia
najionea (nyumbani)
najionea
mahaba tu, nyumbani
…
nyumbani
nyumbani
Random Song Lyrics :
- we're so fucking true - painkiller party lyrics
- saga (videogames) - heche lyrics
- haverie - karies lyrics
- ancestral betrayal, part ii - elegos lyrics
- yog - rfd pioneer lyrics
- vienna (cover) - mac miller lyrics
- nem de graça eu quero - omega2 lyrics
- young gun - sin marcos lyrics
- get money - dram lyrics
- pullup - cousin stizz lyrics