chorus - lady jay dee lyrics
bongo, eh
bongo dar*es*salaam
utalia, lia, lia, lia
bongo dar*es*salaam
kaa chonjo, weh…
ndani ya dar*es*salaam
utalia, lia, lia, lia
bongo dar*es*salaam
kaa chonjo
ndani ya dar*es*salaam
utalia, lia, lia, lia
ndani ya dar*es*salaam
sema unachoweza
(mambo ya fedha)
fanya unachoweza
(mambo ya fedha)
mbona una shangaa?, mambo ya fedha
(mambo ya fedha)
sema unachoweza
(mambo ya fedha)
fanya unachoweza
mbona una shangaa?, mambo ya fedha
tilalila, lila, lila, lila
hii ninayo kupa ni hali halisi
tilalila, lila, lila, lila
sisi na [wanyalu] tunavyoishi
tilalila, lila, lila, lila
hii ninayo kupa ni hali halisi
tilalila, lila, lila, lila
sisi na [wanyalu] tunavyoishi
machoni, ‘kama watu
mioyoni hawana utu
imani imetoweka, mabaya yanaongezeka
machoni, ‘kama watu
mioyoni hawana utu
mabaya yanaongezeka
ama zangu, ama zao
wakibana, wataachia
wakiziba, wakitega ‘wewe tegua
sema nao
ama zangu, ama zao
wakibana, wataachia
wakiziba, wakitega ‘wewe tegua
sema nao
k*mbe ni waongo, hao wenyewe ndio wanaowatokea
kama ni demu sikiliza
kama una swali, uliza
hata kama sijamaliza, ah ‘sikiliza
kama ni demu sikiliza
kama una swali, uliza
hata kama sijamaliza, ah ‘sikiliza
wema wako, utukufu wako
amen
amen, baba
amen
msiache kuongea
ongeeni mnavyoweza
kila mnapo ongea, sifa zinaongezeka
msiache kuongea
ongeeni mnavyoweza
kila mnapo ongea, sifa zinaongezeka
to be with you
i feel like i’m on top of the world
and i wanna stay, ‘just like kilimanjaro mountain
to be with you
i feel like i’m on top of the world
and i wanna stay, ‘just like kilimanjaro mountain
Random Song Lyrics :
- piwo - gene gleen lyrics
- murasaki blue - demo - the dorques lyrics
- interlude - ned rorem lyrics
- mad about bars - s6-e6 - tookie, mixtape madness & kenny allstar lyrics
- save that shit - withoutsoul lyrics
- pleasure - zachary campos lyrics
- scammers & trappers - punchmade dev lyrics
- hej! (formalin) - tupo pablo lyrics
- l' etranger - tuxedomoon lyrics
- eren yeager vs kirito - epic rap battles of ??? lyrics