usiguse - ksonrap lyrics
[intro]
ksonrap
nipo na d black
dat’s what’s up
[verse:1]
kuanzia asubuhi mpaka jua linazama/
mateso zaidi gerezani gitarama/
nasiwezi kukimbia majuk*mu yaniandama/
sina tabasam mikausho mikali mpaka noma/
nikilala nakoroma ndoto zakutisha/
ugali ni wa dona kiporo kimebaki toka jana/
mawimbi ni makali nahisi jahazi litazama/
maadui wanafurai kuona na mawazo nimeshika tama/
sina washkaji ndugu wamenitenga sina hata mwana/
nimekondeana sana nguvu zimebaki ni zangama/
kichwani nimebeba mzigo wa lawama/
walionipima kwa macho walidai nina ngoma/
nimadawa nayovuta na sindano nazo choma/kujidunga
natetemeka muda wote alosto kama vile mwenye homa/
niyakosa tu nahisi nikiahama bila coca/
nishapelekwa sana sober nikatoroka/
nimechoka/
usijaribu../
usiguse..usinuse utafanya ukoo mzima ukususe../
Random Song Lyrics :
- tolo - roberto carlos lyrics
- el momento justo - bls a.k.a rigor mortis lyrics
- don't ever leave me again - vern gosdin lyrics
- b naural (i figli del quinto sole) - insania.11 lyrics
- what i do - lil drip (ricco) lyrics
- x-men vs street fighter - kwam iz ill lyrics
- sweet sweat - linae lyrics
- mcqueen - mati fuczyło lyrics
- donos da rua - franco lyrics
- shoot this dying horse - shilpa ray lyrics