haujamskia - ksonrap lyrics
hauk*mskia babuu alivyokwambia kimbia/
hauk*mskia salut alivyosema chunga sana/
sikio lakiziwi haukusikia ya wahenga/
kifo jela au za umataasisi hak*mskia langa?/
hauk*mskia jaymoe aliposema ulimwengu ndo mama/
hamk*mskia roma/
ulikuwa wapi wakati tmk wanapiga mapanga/
rafael hauk*msikia saganda/
wakati wagosi wapotanga au dani msimamo siku nzuri inavyokwenda/
hak*mskia balozi dola ubalozini/
sasa yupo unyamwezini marekani/
ungeona mbali ungemkiliza afande wa darubini/mkali wa hizi rhymes
sasahiv ni waziri ila alianza kitambo hicho mwanafalsani/
unaweza k*muita binam wa mabinti dam dam/
please forgive me kama hauk*msikia majani watu waligonga nakala kwa mamu/
haukuwaskia kikosi wakati wanapiga mizinga pale block 41 (kino)/
ilikuwa ni noma usiuze wakati kiraka rado ana mwaga sana wino/
hauskia wakati anatubu chidibenzino haukukaa tayarl kunamskiliza jos mtambo kigambonino/
ulikuwa kijijini sitimbi wakati asuu anatamba na misambano/
kulikuwa na mwinjuma mumini kabla ya hizi amapiano/
umekosa vingi hauk*mskia hongera wa michano/
Random Song Lyrics :
- paulie g - montenero lyrics
- greener grass - robustom lyrics
- erro - conteúdo paralelo lyrics
- some days - jaywood lyrics
- my vibe - jtti lyrics
- o silêncio - conteúdo paralelo lyrics
- dans le tieks - jeune rebeu lyrics
- obligé ça va - ats (alex the sim) lyrics
- time and reason - computer magic lyrics
- begin again - próxima parada lyrics