
tatizo - k son rap lyrics
tatizo vita ucrein mafuta bongo yanapanda bei..imekuwa tatizo../gharama maisha zimepanda mkiongeza tena tozo inakuwa bonge tatizo../msemaji akiwa tive ake hili nalo tatizo../dili za magendo mkikosa uzalendo..mkikosa upinzani..bunge la ushindi wakishindo/..kwenye jiji la makala..mgambo na mchinga kariakoo../bado tupo local vp international..pia ni tatizo../tatizo ni madawa ya kulevya mateja panya rodi../wengi wana kwepa kodi..wagonjwa wanafia kwenye wodi../unyanyasaji ukeketaji mila zakijadi bado nitatizo../
tatizo mn*z*ngua mnajijua../
tungo zakitoto..kimuziki hamjakuwa../ tatizo hamjiziki vitabuni..
ngoma zenu zikitoka../zote n*z*tia tu kapuni../tatizo hamfati misingi hata kanuni../hamjui kuwa hiphop utamaduni../tatizo mnajikuta wabishi taikuni..mpo bongo kimawazo ughaibuni../mnatamani mgekuwa lildark..lilbaby tatizo haliduni../
Random Song Lyrics :
- esperándote - rika muranaka lyrics
- broken life - beth anderson lyrics
- funeral - foyone lyrics
- twenty four seven - chris yonge lyrics
- the other side - zoë badwi lyrics
- no volviste - quiet boys lyrics
- take me out - taehyun lyrics
- pretty girls - dennie the great lyrics
- screen - yungpow lyrics
- oh oh girls are dancing - big brother lyrics