![lirikcinta.com](https://www.lirikcinta.com/statik/logonew.png)
unanikosha - jovi'al lyrics
baby zima taa tunapoianza hii sakata
hapo hapo swadakta, nadata na huba lako
tumba prakata rhumba chakacha, ai mbambata
wanichezesha na kwaito
baby nipe tena, tena
niwe chachu ya birimbi
unanibembeleza
mwakipesi na sheringe
niite niite hata ki*utani
jaguar mwenyewe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka deka
niite niite hata ki*utani
jaguar mwenyewe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka deka
unanikosha roho, unanikosha roho
unanikosha roho, unanikosha roho
najijua najijua
nikipenda wivu unanisumbua
tena unanishanigundua
mi kwako najishebedua
yaani mambo kwako sambamba
nikiwa nawe niko salama
kitandani mechi kandanda
tunacheza kandanda
niite niite hata ki*utani
jaguar mwenyewe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka dеka
niite niite hata ki*utani
jaguar mwenyеwe utaniita nani
maneno yananitoka kinywani
na sauti ni ya kudeka deka
unanikosha roho, unanikosha roho
unanikosha roho, unanikosha roho
Random Song Lyrics :
- lost - bethk lyrics
- o que tem a rosa - trio da vitória lyrics
- du weißt bescheid (psx_rmx) - royal ts lyrics
- sleepless nights (outro) - grimboy.wav lyrics
- paper cut - dialect402 lyrics
- 2k19 - karfioli lyrics
- inside of you - the walker brothers lyrics
- the year of the snake - danny vera lyrics
- call me devil, call me cheap - mugxtsu lyrics
- 話がしたいよ (hanashi ga shitai yo) - bump of chicken lyrics