watu - jay melody lyrics
[intro]
jini x66
ooh, yeah, la*la
ooh, yah
oh, once again, mh
[verse 1]
kama ni mapenzi
yaniuwe basi, yaniuwe
huu mzigo basi unitue
kama siyajui, basi nipeleke shule
baby, kwengine sioni
penzi lako lanipa upofu weh
kwa mikono yako nichukue
kwenye makorongo usinitue
baby
[pre*chorus]
mi nishajikomba sana
kwa masela, majita
we ndio changu kipenzi
nishawaambia we ndio changu kipenzi
sa usije kunichanganya
mwenzako nitakwisha
si ushajuwa siwezi
bila ya penzi lako mimi siwezi
mimi, mimi
[chorus]
watu (mh)
nitawaambia nini, watu
nitawaambia nini, watu
nitawaambia nini, watu
mimi, mimi
watu (mh)
nitawaambia nini, watu
nitawaambia nini, watu
nitawaambia nini, watu
mimi, mimi
[bridge]
ooh, la*la, mh
[verse 2]
bila wewe mi nitakosa uhai
bila we ‘life halitanoga
ni raha tupu vile unanikosha
utaniambia nini, kuhusu mapenzi
kwako nimegota
nikikuona ka nimeona nyota
kwa penzi lako, chozi lanidondoka
mwenzio usiniweke roho juu
[pre*chorus]
mi nishajikomba sana
kwa masela, majita
we ndio changu kipеnzi
nishawaambia we ndio changu kipenzi
sa usije kunichanganya
mwеnzako nitakwisha
si ushajuwa siwezi
bila ya penzi lako mimi siwezi
mimi, mimi
[chorus]
watu (mh)
nitawaambia nini, watu
nitawaambia nini, watu
nitawaambia nini, watu
mimi, mimi
watu (mh)
nitawaambia nini, watu
nitawaambia nini, watu
nitawaambia nini, watu
mimi, mimi
(instrumentals)
music
Random Song Lyrics :
- outro : in our cosmos - cravity lyrics
- rap snack - stlien lyrics
- i am going to seriously harm / kill alfo media (metaphorically) - twxwks lyrics
- just a closer walk with thee - james andrews and trombone shorty brothers lyrics
- if i ain't got you - diogo carapinha lyrics
- quer me dar - valdeyr cotias lyrics
- open the gate - urkraft lyrics
- me duele - ciniko lyrics
- after hours - young roddy, curren$y & smoke dza lyrics
- sms - c.sosa lyrics