
turudiane - jay melody lyrics
[intro]
onaa nana nana nanaaaah
anaitwaje uyo? jay, jay once again
[verse 1]
nilikukosea, naomba unisamehe
nishajionea, kwamba sina lolote
bila wewe siwezi endelea
naomba twendelee
yalikuwa matamu, mapenzi yetu
yalikuwa super, aaah
[pre chorus]
aaaaah ah, ex dua gani ulivoisoma?
aah, kama ndio cha moto nimekiona
aku siwezi, kujifanya niko sawa k*mbe inachoma
inaumiza, nimeshindwa kukaza
[chorus]
mwenzako nataka, turudiane
mwenzio nataka, turudiane
mwenzako nataka, turudiane
mwenzio nataka, turudiane
uuh nana nanana ooh
[verse 2]
weeh, saa sita, saa saba usiku
nitakupigia na kitu
nawe pokea j*po tu
nikuongeleshe kakitu
uko inje, kila mtu wa mtu
nishakuwa single my siku
basi nielewa kiduchu
tumalize hili bifu
[bridge]
nimeshindwa k*movе on
nimeshindwa k*move on
hata siwezi, k*movе on
wanawezaje, k*move on?
[pre chorus]
ex dua gani ulivoisoma?
aah, kama ndio cha moto nimekiona
aku siwezi, kujifanya niko sawa k*mbe inachoma
inaumiza, nimeshindwa kukaza
[chorus]
mwenzako nataka, turudiane
mwenzio nataka, turudiane
mwenzako nataka, turudiane
mwenzio nataka, turudiane
[outro]
once again
mwenzio nataka, turudiane
Random Song Lyrics :
- hymn to the archangel - fruit tree lyrics
- ba to (with you) - mojtaba nowrouzi lyrics
- crucified - lucy stoner lyrics
- один-один - roman lorych lyrics
- clarity - sean slick lyrics
- i hate this feeling - oryx lyrics
- for the best - detour lyrics
- history made at midnight - grant stevens lyrics
- abie asemoon - donya lyrics
- eu n vou atender. - igão lyrics