
tuvushe - harmonize lyrics
taifa limeshapata suluhu
kinachofata ni mipango
na majaliwa
ya mwenyezi mungu
*n*lolipanga mungu
huwezi kulipangua
alitupa magufuli
kisha kamchukua
ametuachia jahazi
na sisi ndio abiria
juk*mu letu ni kuchapa kazi
maana yupo wakusimamia
tutumbulie majambazi
wala rushwa maharamia
wasiotaka kufanyakazi
wapenda pesa zakuvizia
mama tuvushe
taifa zima lina imani nawe
mama tuvushe
hayati jpm
alikutuwa wewe
samia tuvushe
taifa zima
tunakutazama wewe
tuvushe
refarii ndio kabadilika
lakini uwanja ni ule ule
kazi juu ya kazi
tena mpenda haki
mtu wa mungu
fitina hataki
wala majungu
na ndoto za wanawake
shupavu zimetimia
na huyu ndio rais
wakwanza mwanamke
hapa tanzania
mama samia
tunakwenda k*malizia
miradi iliyobakia
pole yenu mnaohofia
aah, mama waonyeshe
unavyotekeleza
busisi bridge
na surrender
madaraja yote
mama waonyeshe
ooh, waonyeshe
unavyotеkeleza
na flyover zilizobakia
mama waonyеshe
ooh, waonyeshe
unavyotekeleza
standard gauge
air tanzania
mama waonyeshe
ooh, waonyeshe
unavyotekeleza
barabara, elimu bure pia
mama waonyeshe
oh, waonyeshe
unavyotekeleza
mradi wa umeme
bwawa la nyerere
mama waonyeshe
oh, waonyeshe
unavyotekeleza
ikulu chamwino dodoma
izidi songa mbele
mama waonyeshe
oh, waonyeshe
unavyotekeleza
Random Song Lyrics :
- orange sky - prism surf lyrics
- the second wind is coming - ashcloud lyrics
- you think my old shit hard? (you ain't seen nothing) - chiddy bang lyrics
- the rain - escuchando elefantes lyrics
- lick the cat - yelawolf lyrics
- femmes... je vous aime - julien clerc lyrics
- a better man than i - the shadows (band) lyrics
- creme de la creme begins - frenkie lyrics
- guerrilla club - caravãna sun lyrics
- demons (remix) - futuristic lyrics