sandakalawe - harmonize lyrics
nyau
this one is a black line
yaw yaw
zakochali, yebooo
konde boy, call me number one
so much money in the bank, man
all dem girls dey call me honey
only your love can turn me to a mad man
leo nakuto… totoo, nakutoa kwenu uje kw*ngu
nina hamu yakuto… totoo, kutoa mahali uwe w*ngu (nyau)
basi sema unakuja saa ngapi ama kwenu umeshakatazwa
said kichwa nitamueka wapi na mkongo nimeshampakaza
iyo mitungi ndo usiseme utakunywa utasaza
kama pesa ndo zipo nyingi kuzigawa nimeshaanza
wahuni sandakalawe (amina)
ah mwenye kupata (apate)
je mwenye kukosa (akose)
eh kuku gani? (mweupee)
ah sandakalawe (amina)
na mwenye kupata (apate)
je mwenye kukosa (akose)
ah kuku gani?
leo nataka kukuto*, to* kutoa out
mimi na hamu ya kuto*, to* kutoka na wewe
jiandae leo na kuto*, to* kutoa out
mimi na hamu ya kuto*, to* kutoka na wewe, yebooo
ya, my beautiful baby from juba
i wanna take you to dubai
yes i’m ready to do that, do that
hasa twende popolipo lipopoo
popolipo lipopoo
popolipo lipopoo
popolipo lipopoo
iyo mitungi ndo usiseme utakunywa utasaza
kama pesa ndo zipo nyingi kuzigawa nimeshaanza
wahuni sandakalawe (amina)
ah mwenye kupata (apate)
je mwenye kukosa (akose)
eh kuku gani? (mweupee)
ah sandakalawe (amina)
na mwenye kupata (apate)
je mwenye kukosa (akose)
ah kuku gani?
leo nataka kukuto*, to* kutoa out
mimi na hamu ya kuto*, to* kutoka na wewe
jiandae leo na kuto*, to* kutoa out
mimi na hamu ya kuto*, to* kutoka na wewe, yebooo
(themix)
(k!ller)
leo nataka kukuto*, to* kutoa out
mimi na hamu ya kuto*, to* kutoka na wewe
jiandae leo na kuto*, to* kutoa out
mimi na hamu ya kuto*, to* kutoka na wewe, yebooo
Random Song Lyrics :
- vape - eugene (fra) lyrics
- miel / tentempie - simón campusano lyrics
- ヒポポタマス (hippopotamus) - gero (ゲロ) (jpn) lyrics
- teddy - dr. bryant's funhouse lyrics
- move - young zetton lyrics
- call it love - felix jaehn & ray dalton lyrics
- 216 grad (sammy216 remix) - sammy216 & oli39 lyrics
- now is the time - boci lyrics
- keep doing your thing - kendell marvel lyrics
- game over - young elo lyrics