![lirikcinta.com](https://www.lirikcinta.com/statik/logonew.png)
mdomo - harmonize lyrics
[intro]
hahaha, jeshi
i really sound crazy [songs by abbah]
chinga
i wanna sing for my lady oh
s*xy lady mmmh
[verse 1: harmonize]
wanaokesha wakiomba tuachane, wanaupaka rangi upepo
ufe nikuzike tuzikane, kesho tukakutane kwa pepo
hasi na chanya tugandane, kisha tuzidishe tempo
bila sita saba na nane, hata k*mi isingekuwepo
tena unavyojisuuza hujikwezi
sio wa kulala buza ushinde mbezi
yani unawaburuza hawakuwezi
umeniteka mama
[pre chorus]
watoto wa mombasa huko kenya,wanaitamani ndizi ya k*menya
wanajiuliza vipi umepenya, mpaka tembo hapindui
akina carry mastory wanakusengenya,na vile huwajibu wanajitekenya
na ulivyo na sifa unanipa tena,yani mpaka asubuhi
[hook]
kifupi umeniziba mdo mdo mdomo
mdo mdo mdomo
mdo mdo mdomo
mdo
yani baby umeniziba mdo mdo mdomo
mdo mdo mdomo
mdo mdo mdomo
mdo
[verse 2: ibraah}
mmmmmh yeah
oh baby i don’t evеn understand
nahisi kama umenifanyia limbwata
ila ndo mapenzi sishangai
yеah
my baby, i don’t want a one night stand
mi kwako chizi nishadata, nitakupenda till i die
maana unanipa mawenge [ngengenge]
mara vichwa mara mwenge [ngengenge]
kaja gym na kite [tengenge]
ilimradi uchokozi
aah onananana
macho yanatazama mbingu, na mikono ushafunga na pingu
kibaridi huko nje kuna wingu, mi namwa mwagaga machozi
[pre chorus: harmonize]
watoto wa mombasa huko kenya,wanaitamani ndizi ya k*menya
wanajiuliza vipi umepenya, mpaka tembo hapindui
akina carry mastory wanakusengenya,na vile huwajibu wanajitekenya
na ulivyo na sifa unanipa tena,yani mpaka asubuhi
[hook]
kifupi umeniziba mdo mdo mdomo
mdo mdo mdomo
mdo mdo mdomo
mdo
yani baby umeniziba mdo mdo mdomo
mdo mdo mdomo
mdo mdo mdomo
mdo
[outro: ibraah]
anataka niteleze kwa ute [hana ubaya]
nikitapika nisifute [hana ubaya]
ananifanya nisijute [hana ubaya]
hana
[harmonize]
say
chumbani nikukute [hana ubaya]
na ganja mbili tuvute [hana ubaya]
na vumbi la congo ulifute [hana ubaya]
hana
[the mix k!ller]
kondeboy call me number one
chinga yes number one
number one
hehe
Random Song Lyrics :
- horlama hırla - rapozof lyrics
- the interpreter - timothy brindle lyrics
- smile and wave (prod. jeanpaul) - all knight lyrics
- starry night (별이 빛나는 밤) romanization - mamamoo lyrics
- чёкпрофер (chokprofer) - klava bravo lyrics
- storytime - mr kay rsa lyrics
- happy pick up truck - katastrophy wife lyrics
- some things you lose - colleen rennison lyrics
- otro día más - big one & m2h lyrics
- replay - janyce lyrics