wawa - haitham kim lyrics
(wawawawaa wawawawaa)
(wawawawaa wawawawaa)
huwaga mapenzi yana utesa moyo wengi wanapagawa
endapo ukiamini unajua mapenzi utalivuka daraja
wengi wanasema eti yana dawa hivi nani aliye pendwa
ingawa na mimi ukaniona sawa ndio wale wale walio tendwa
hata na mimi nibaki hivihivi
(hivi hivi)
nibaki hivihivi nisiwe wa kujisonya nitaumia
(wawawawaa) nishushe nanga nibakie
(wawawawaa) yani ni bora nituliee
(wawawawaa) maumivu ya mapenzi nisivamie
(wawawawaa) nijivute vumbi nisijichafue
maumivu ya kidonda nikazi kuya himili (haayeee)
unaweza ukapona lakini ikawa bado ndani (haayeyeee)
natena ilivyo tabu mateso kuyakabili (haayeee)
ukose pa kupapasa moyo uwe tafarani (iyeee)
hata na mimi nibaki hivihivi
(hivi hivi)
nibaki hivihivi nisiwe wa kujisonya nitaumia
(wawawawaa) nishushe nanga nibakie
(wawawawaa) yani ni bora nituliee
(wawawawaa) maumivu ya mapenzi nisivamie
(wawawawaa) nijivute vumbi nisijichafue
Random Song Lyrics :
- boshaft - said lyrics
- negrita - los kjarkas lyrics
- fin del mundo - this side up lyrics
- "va händer då?" - mivas lyrics
- sangre en la boutique - nancys rubias lyrics
- j'suis dans la dêche - patrick bruel lyrics
- rear view mirror - e-40 lyrics
- when you come - xenia rubinos lyrics
- peace through kindness - nawang khechog lyrics
- house inside (future is older than the past) - how to dress well lyrics