umechelewa - gaza lyrics
intro
verse 1
napata ujumbe kwa simu nikicheki natambua hii nambari, nausoma huo ujumbe (umetoka wapi sijui huyu ni nani)eti wanijulilia hali waomba niko salama, lakini mi na we twajua ukweli halisi
chorus
walikosa penzi, wahitji mwenzi, hautawahi pata mahala pengine eeei eiii penzi langu, nilikupa roho yangu uliamua sitoshi mboga na sasa wataka tuanze tena
maji yakimwagika (hayazoleki tena) maji yakimwagika (haya zo oleki tena)
verse 2
chambilecho wahenga (mpende akupendae asokupenda wachana nae) pia walisema (usiwache mbachao kwa msaaal a upitao) huwezi rudi nyuma (siwezi rudi nyuma siwezi rudi nyuma) usione kovu ukadhani kidonda kapoa
chorus
walikosa penzi, wahitji mwenzi, hautawahi pata mahala pengine eeei eiii penzi langu, nilikupa roho yangu uliamua sitoshi mboga na sasa wataka kurudi kw-ngu kuwa w-ngu ili mradi uniite asali wako wa moyo. walikosa penzi, wahitaji mwenzi, hautawahi pata mahala pengine eeei eiii penzi langu, nilikupa roho yangu uliamua sitoshi mboga na sasa unataka tuanze tena. walikosa penzi, wahitaji mwenzi, hautawahi pata mahala pengine eeei eiii penzi langu, nilikupa roho yangu uliamua sitoshi mboga na sasa unataka tuanze tena
Random Song Lyrics :
- kiedy jesteś obok - kevlar west lyrics
- i'm god - train wrecker lyrics
- selautan merindu - liza hanim lyrics
- agony - cain; the rot king lyrics
- maxxed out - s4nti vib3s & ckmthe1 lyrics
- марк на трипе (1endrix remix) - ian hopeless & 1endrix lyrics
- take me home - lou nei lyrics
- red flags - vanity vercetti lyrics
- chipolopolo - pompi lyrics
- first day out - beo lil kenny lyrics