![lirikcinta.com](https://www.lirikcinta.com/statik/logonew.png)
mteja - frenchboy lyrics
oooh lala lala
chorus
leo, leo hatuendi mahali, tumebaki kwa keja baki kwa keja, baki kwa keja baki kwa keja, leo hatujibu masimu, mi niko mteja we uko mteja mi niko mteja we uko mteja
verse 1
mpenzi nakupenda, nakuhitaji mimi, kila usiku na mchana haa baby nakutaka wanipa furaha inaonekana usoni yeah juu wajua kunipa hio mali, ukinipa hutaki nibakishe unataka nirudi pale pale, kwa hivyo
chorus
leo hatuendi mahali, tumebaki kwa keja baki kwa keja, baki kwa keja baki kwa keja baki kwa keja, leo hatujibu masimu, mi niko mteja we uko mteja mi niko mteja we uko mteja. leo hatuendi mahali, tumebaki kwa keja baki kwa keja, baki kwa keja baki kwa keja baki kwa keja, leo hatushiki masimu, mi niko mteja we uko mteja mi niko mteja we uko mteja
basi karibia simu yako weka mbali,nionyeshe jinsi unavyozungusha kiuno,mambo za gizani unataka nikubusu, popote,pole pole hatuna haraka hadi che che nitakutoa jasho hadi che che baby
chorus
leo hatuendi mahali, tumebaki kwa keja baki kwa keja, baki kwa keja baki kwa keja baki kwa keja, leo hatujibu masimu, mi niko mteja we uko mteja mi niko mteja we uko mteja. leo hatuendi mahali, tumebaki kwa keja baki kwa keja, baki kwa keja baki kwa keja baki kwa keja, leo hatushiki masimu,mi niko mteja we uko mteja mi niko mteja we uko mteja (x2)
Random Song Lyrics :
- this is goodbye - loose bolts lyrics
- summerlights - dj noriken lyrics
- starry night (feat. crush) - boa lyrics
- a song - lilly among clouds lyrics
- next to your love - rotimi lyrics
- väskan - nomad (swe) lyrics
- pronto - kofi lyrics
- bomb drop - ccyler lyrics
- gina valentina (remix) - smb lyrics
- pēc skaudra maiguma - daumants kalniņš lyrics