sambaratika - flier lyrics
polisi ni wa tajiri
sheria ni ya maskini
ushuru ni ya mafia
uhuru ni ya pr
shahada hizo karatasi
elimu nayo maridadi
kenya hii hakuna kazi
walishapea mashangazi
manabii walitabiri
wengi wakuamini
system ni ya majambazi
sasa tunajuta
shahadah hizo hazitoshi
elimu siku hizi pochi
kenya hii hakuna haki
walishapea mali mali
toa jam, toa jam
mheshimiwa yuko nyuma huyo anacome
wananchi wamefunga njia kama slum
saa ving′ora zinalia kama ambulance
walimeza evidence
mashahidi waka change ma statement
wengine saa ni past tense
familia w*n*lia kuna foul play
katiba hio hawafwati
buda kama huna ganji
kenya hii hakuna haki
walishapea mali mali
oh yea
bwana anakuona
mpaka moyoni mwako
bwana anakuona
mpaka moyoni mwako
bwana anakuona
mpaka moyoni mwako
bwana anakuona
mpaka moyoni mwako
Random Song Lyrics :
- pack it up (ft. 3-8ghty) - king madi lyrics
- beasts of anime cypher, vol. 2 - shwabadi lyrics
- suomen kesä - olli halonen lyrics
- redemption - le'mon driver lyrics
- vanish - ikimasu lyrics
- qtv - pollux lyrics
- already up - big doogie lyrics
- city sunday mornin' day - b.j. thomas lyrics
- da sein (pastiche/remix/mashup) - world wide rap lyrics
- tied up - cxndense, awgus lyrics