
donda - fitzon dai lyrics
intro:
oooh nanananaaa…aah
oooh nanananaaa…aah
oooh nanananaaa…aah
fitzon dai
verse 1
wapo wengi wenye donda..aaaaah
huku saa sita imegongaa….aaaaah
ibilisi amenisongaaa…aaaah
nikiwapa watabongaaa..aaaah
maneno yao kisirani,huwa yananichoma mama
kutaka kuniweka chini, nami sitaki hunyonge beiby
(wanaongana usiku n mchana hili tuachane beiby
nasitodiriki kuumizwa donda huwa hamishemishe mama)x2
chorus:
naitaji upendo wa dhati..
ila ukiniacha nilewe..
matatizo yani hurtii..
ooh ma bebi nielewee x 2
verse 2:
wanaringa wataki niwe nawee..iyo ni ndoto
wakati mapenzi yangu nawee..wanaitazamia ghetto, x 2
kama safari kw-ngu mawee…iyo ni bevoo
na sitaki kipenzi kingine beiby, ila niwe
maisha yangu..ni wewe
kipenzi changu ni wewe
muhudumu w-ngu ni wewe
doctor w-ngu ni wewe…
chorus:
naitaji upendo wa dhati..
ila ukiniacha nilewe..
matatizo yani hurtii..
ooh ma bebi nielewee x2
hook:
maneno yao kisirani, huwa yananichoma mama
kutaka kuniweka chini, huwa mishemishe mama
wanaongana usiku na mchana,hili tuachane beiby
nasitodiriki kuumizwa donda huwa hamishemishe mama aa..
outro:
yeaaaaah….fitzon dai beiby
changamka starz music
back..
big up panya mtu..
for discovered me fitzon dai
holla..!!!!
chorus:
naitaji upendo wa dhati..
ila ukiniacha nilewe..
matatizo yani hurtii..
ooh ma bebi nielewee x 2
bridge:
oooh ma bebi nielewee..
oooh ma bebi nielewee..
oooh ma bebi nielewee..
oooh ma bebi nielewee..
Random Song Lyrics :
- easy in the spring - blame it on whitman lyrics
- try me - daytona kk lyrics
- baby bad boy - granrodeo lyrics
- schön dass du da bist - orhan black lyrics
- love you again - pluto lyrics
- rock is dead - апофеоз моего эго (apofeoz moego ego) lyrics
- hydroxycut - lostrushi lyrics
- quando - andrea blanc lyrics
- to fall asleep - pj harding lyrics
- ashes (negotiation) - if i die today lyrics