hello (adele swahili cover) - dela lyrics
[dela]
h-llo
ni mimi, baada ya miaka na mikaka
je twaweza kukutana, turejelee yote?
wanasema muda unaponya
mbona bado ninaumwa?
h-llo?
waniskia?
niko pwani nikiota juu ya vile tulikuwa
kama vijana tulipokuwa huru
nimesahau ilivyohisi kabla dunia ianguke
tofauti baina yetu ni maili milioni
(chorus)
helo toka kwa mataa
(kwa mataa, kwa mataa)
mara elfu kakupigia
(pigia, pigia)
kuomba msamaha
kwa niliyotenda
lakini mteja hapatikani
helo toka kwa mataa
hauwezi sema sijajaribu
(jaribu, jaribu)
basi nisamehe kwa kuvunja moyo
lakini ni kama
haikujalishi kamwe
helo, waambaje?
ni kawaida yangu kujizungumzia
o, niwie radhi
natumai utaniwia radhi
je, uliwezahama toka ule mji uliyokupoesha?
sio siri kuwa mi na we
tunapitwa na masaa
(chorus)
helo helo
helo, helo
helo, helo
helo, helo
helo, helo
Random Song Lyrics :
- i'm going like - hallman lyrics
- the one - jukebox the ghost lyrics
- tetrahedra - either lyrics
- salentu - mr. fabstar lyrics
- if you scared, say you scared - black & jay lyrics
- my revolution - miracle of sound lyrics
- today is the same as yesterday, but yesterday is not today - noiserv lyrics
- the great pretender (brian malouf remix) - freddie mercury lyrics
- mi norte siempre apunta al sur - revolver lyrics
- nation incomplete - raised fist lyrics