nikiondoka - darassa lyrics
mwingine hata miujiza hashangai
tumeumbwa tofauti that’s the reason why
mtu akivunja moyo huwezi k*mdai
na moyo unataka ubebe kama vile yai
unanizingua unaniplease i don’t mind
nikaja kuona si we nishai
hakuna nilichofanya kwako nikaweza
hakuna nilichofaa kwako nikapendeza
kuna wakati hisia zinakupoteza
unakuwa mfungwa nje ya gereza
love is blind i lost my mind
mguu nje ndani you don’t concern
labda ningekuwa na moyo wa chuma
wivu machungu yasingeuma
kushindana na upepo unaovuma
hata we usingeweza
nikiondoka utanimiss nikiondoka
nikiondoka labda utanimiss, nikiondoka
nikiondoka utanimiss nikiondoka
nikiondoka labda utanimiss, nikiondoka
mapenzi yetu kw*ngu sio utani
ukayafanya ngazi unipande kichwani
marafiki wanasema sikujui ndani
they say hey think like a real man
hii ni faida ya mapenzi kama haufurahii
chumbani unawaza mtu hakufikirii
unayempenda kukupenda sio guarantee
i should never go back for my mystery
ni bora kujikaza kuvumilia
kusema kunyamaza kucheka kulia
mambo mengine deep sana i can’t say
record yetu staki hata kureplay
labda ningekuwa na moyo wa chuma
wivu machungu yasingeuma
kushindana na upepo unaovuma
hata we usingeweza
nikiondoka utanimiss nikiondoka
nikiondoka labda utanimiss, nikiondoka
nikiondoka utanimiss nikiondoka
nikiondoka labda utanimiss, nikiondoka
Random Song Lyrics :
- my little terrorist - regurgitator lyrics
- superhero (feat. zayaan) - muad lyrics
- underneath all that ever was - coil lyrics
- forever - popstarbills lyrics
- standstill - artifice lyrics
- jutro posle - kanbolex lyrics
- the greatest - prince k. appiah lyrics
- ms. lottie - hodgepodge lyrics
- burn time dry - coil lyrics
- bleeding pride - korzus lyrics