chuki - da wyre lyrics
[intro]
na na na na na na…
na na na na na na…
na na na na na na…
na na na na na na…
[verse 1]
ni sababu gani mwanitenda hivi
uwongo mwanena kunihusu mimi
hamnifahamu hamjui
chenye nafanya maishani
mw*ngu nyumbani
mw*ngu nyumbani
mijidai eti nyie marafiki
k*mbe nia zenu zilikuwa kundi
kunitenganisha na mpenzi
wa roho yangu na kuniacha
mashakani, taabani
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
[verse 2]
mambo yenu mi sishughuliki nayo
mnavyoishi mimi sina hoja nayo
kinachonihusu si lazima
mkifahamu na kushinda
mkipiga domo
mkipiga domo
mlichotenda kw*ngu kweli hakifai
kiw*ngo cha unchungu mlinipa yaani
sina heshima kwenu tena
ukuta wa chuki mlijenga
kati mi nanyi
kati mi nanyi
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
[bridge]
na na na na na na…
ni shida kuamini yaani
na na na na na na…
kiw*ngo cha uchungu mlionipa
na na na na na na…
heshima kwenu mimi sina tena
na na na na na na…
basi chuki ndio mimi nahisi
[hook]
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
ni chuki, ndio na hisi
nikiwaza jinsi
mlivyojitolea kuniudhi
bila matokeo yaani
Random Song Lyrics :
- gloomy reflections - shinki chen lyrics
- coach - filest lyrics
- catatumba - duque27 lyrics
- i'll never be alone - foxpoint lyrics
- так хочу (so want) - instasamka lyrics
- tragédia mental - marcus yazbek lyrics
- cock of the walk - prodigal swine lyrics
- listen to my heart - lil pingus lyrics
- a message to those beyond burnt bridges - cryptive lyrics
- awesome sound - paintin’ the town brown (live) - ween lyrics