mimi na yesu - blessed paul lyrics
but god is so rich in mercy, and he loved us so much, that even though we were dead because of our sins, he gave us life when he raised christ from the dead. (it is only by god’s grace that you have been saved!) * ephesians 2:4*6
here is the first #kalpopiano (kalpop+amapiano)
the lyrics
mimi na yesu mimi na.. argh
mimina yesu mimina argh argh
mimi na yesu mimi na.. argh
mimi na yesu mimi na..
mimina yesu mimina argh
kama ni sifa tunampa yesu
maana mashida kamaliza kwetu
kama ni sifa tunampa yesu
maana mashida kamaliza kwetu
uzima wake wa milele tumeupata
mlima wake hadi kilele tumeupanda
wema wa nchi ya ahadi tumeuona
si sikama musa nchi ya ahadi tutaingia
si sikama musa nchi ya ahadi tutaingia
kama ni sifa tunampa yesu
maana mashida kamaliza kwetu *4
mimi na yesu mimi na argh
tuko wawili mimi na
mimina yesu mimina argh
baraka zako mimina..
kama magari na manyumba zinatufuata
nasema mali na mapesa zatukimbiza*2
m…tafute ufalme wa mungu kwanza
na mengine yote mtazidishiwa
mtazidishiwa mtazidishiwa
kama ni sifa tunampa yesu
maana mashida kamaliza kwetu*2
mimi na yesu mimi na argh
tuko wawili mimi na
mimina yesu mimina argh
baraka zako mimina..
Random Song Lyrics :
- anxious - the wldlfe lyrics
- meet the new youngin - youngfrost lyrics
- ta' det roligt - benjamin hav lyrics
- fade 2 black - dani' wright lyrics
- party and the elevator full lyrcs - l.c chase (fgteev chase) lyrics
- burn the disco down - vincent limelight lyrics
- reality cleaver - nefandus lyrics
- ghost - kube lyrics
- solace - dj deathblade lyrics
- can't wait forever - tigers jaw lyrics