
yalaiti - ali kiba lyrics
intro
yeaaap
verse:alikiba
naona raha, kukuona aah nafsi yangu inafurahika
majeraha nimeshapona aah hivi sasa moyo w*ngu
umehimarika aah maana umenituliza hayuni iii
kwa raha zako na sazaa, sijui niseme nini iii
napewa vya kila ladha, oooh nikeshe na wewe
tukiambizana, nikeshe na wewe tukiliwazana
nikeshe na wewe tukiambizana nikeshe na wewe
tukiliwazana
chorus: alikiba
yalaiti “yooh”yalaiti yalaitii yalaiti “yalaiti ningejua mapema”
yalaiti “aaah”yalaiti yalaitii yalaiti “yalaiti ningejua mapema”
instrumental
aaah ooah aaah aaaaaih yalaaiti yalaa aaah
verse:sabah salum
siri yangu yako wewe, siri yako yangu mimi
mwili w*ngu wako wewe, mwili wako w*ngu mimi
amina rabbi amina mimi kwako hali sina umenizidi
hekima mi nasitirika, nikeshe na wewe
tukiambizana, nikeshe na wewe tukiliwazana
nikeshe na wewe tukiambizana nikeshe na wewe
tukiliwazana
chorus: alikiba & sabah salum
yalaiti “oooh”yalaiti yalaitii “yalaiti ningejua mapema”
yalaiti “oooh aah”yalaiti yalaiti mmh yalaiti “yalaiti ningejua mapema”
bridge:alikiba & sabah salum
amina rabbi amina mimi kwako hali sina umenizidi
hekima mi nasitirika
oooah amina rabbi amina mimi kwako siri sina umenizidi
hekima mi nasitirika aaah……….
outro:
instrumental
the mix k!ller
Random Song Lyrics :
- touch (lust for each other) - harry x lyrics
- galactic alchemy - hit the switch lyrics
- nightmare in wonderland (remix) - xinclair lyrics
- what she said - this busy monster lyrics
- skyliner - endlesss lyrics
- sometimes i tell myself im fine - wavy jone$ lyrics
- dancin’ late at night - jonathan richman and the modern lovers lyrics
- manoir - zidi lyrics
- loic - mattu lyrics
- bite back - alldaway dre lyrics