
sitaki tena - ali kiba lyrics
yogo on the beats)
umenitesa roho ni kweli sio masihara
kutwa nahuzunika lole
nikawa kama fala (nikawa kama fala)
nilijipa moyo, mbona nitafuna?
miezi donda ndugu kw*ngu sugu
kufutika never
sasa umeona, urudi tena
unaomba msamaha wa kurudiana
sasa umeona, urudi tena
unaomba msamaha wa kurudiana
nasema sitaki tena, tena
mi sitaki tena, tena
kurudi ya nyuma, tena
oh sitaki tena, tena
sasa umeona, tena
mi sitaki tena, tena
kurudi ya nyuma, tena
oh sitaki tena
(oh sitaki tena, oh sitaki tena)
kama unanishow, mapenzi toka china
tena una mengi majina, eti love designer
wanakuita designer, unavyojua kushona
unavyoringa kama nyuzi ya shanga
kutikisa nyonga
sasa umeona, urudi tena
unaomba msamaha wa kurudiana
sasa umeona, urudi tena
unaomba msamaha wa kurudiana
nasеma sitaki tena, tena
mi sitaki tena, tеna
kurudi ya nyuma, tena
oh sitaki tena, tena
sasa umeona, tena
mi sitaki tena, tena
kurudi ya nyuma, tena
oh sitaki tena (oh sitaki tena, sitaki tena)
sasa umeona, urudi tena
unaomba msamaha wa kurudiana
sasa umeona, urudi tena
unaomba msamaha wa kurudiana
nasema sitaki tena, tena
mi sitaki tena, tena
kurudi ya nyuma, tena
oh sitaki tena, tena
sasa umeona, tena
mi sitaki tena, tena
kurudi ya nyuma, tena
oh sitaki tena (oh sitaki tena, sitaki tena)
Random Song Lyrics :
- money (acoustic) - jesca hoop lyrics
- pena de amor - purini madness lyrics
- messa in moto - giovapiùgiova lyrics
- bum bum - cedry2k lyrics
- lady luck left me - alan dunham lyrics
- sincera - jaay lyrics
- never let u go - sorisu lyrics
- everywhere - las (라스) lyrics
- 2t1bb (demo) - bege lyrics
- anyway - ben johnson (continuous) lyrics