chibaba - ali kiba lyrics
[intro]
ooh
ooh
ooh
yo!
alright
ah
ah
ah
ah
ah
ah
eh, mama
yeah, mama
[verse 1]
mwenye sura ya makokoto
k*mpata ni protocol
kamejawa na madeko
ah, kana madeko, ah
kwa kuringa kanaringa
kana mambo ya kitoto, toto
mwenzenu mi ndio napenda
ugonjwa w*ngu ‘mi napenda
[bridge]
ka kicheka, mi nalia
jama kananivutia
mali yangu ikija liwa, oh
mi nitachanganyikiwa, ah
ka kicheka, mi nalia
mi nalia, kananivutia
mali yangu ikija liwa
mi nitachanganyikiwa
[pre*chorus]
(ah, olala,lala)
ni mzuri huyo, nampenda huyo, huyo
(ah, olala, lala)
mali yake, roho safi, oh*oh
(ah, olala, lala)
safi, oh
ni mzuri huyo, nampenda huyo, huyo
(ah, olala, lala)
mali yake, roho safi, oh*oh
roho safi, oh
[chorus]
chimama
…
chibaba
(chibaba)
mmm
[verse 2]
akaanza niita chibaba, chibaba, oh
chibaba
nami namuita chimama, chimama, wa mboga saba
wa moto, oh
shepu, jicho mpaka shingo
yaani [?] mashallah
sitaki tena kuwa single, oh, oh
[bridge]
ka kicheka, mi nalia
jama kananivutia
mali yangu ikija liwa, oh
mi nitachanganyikiwa, ah
ka kicheka, mi nalia
mi nalia, kananivutia
mali yangu ikija liwa
mi nitachanganyikiwa
[pre*chorus]
(ah, olala,lala)
ni mzuri huyo, nampenda huyo, huyo
(ah, olala, lala)
mali yake, roho safi, oh*oh
(ah, olala, lala)
safi, oh
ni mzuri huyo, nampenda huyo, huyo
(ah, olala, lala)
mali yake, roho safi, oh*oh
(chibaba)
roho safi, oh
(chibaba)
[bridge]
yup!
(instrumentals)
ooh
(chibaba)
ooh
ooh
(chibaba)
ooh
ooh
(chibaba)
mmm
[outro]
chimama
…
chibaba
Random Song Lyrics :
- oogity boogity - jon st. james lyrics
- a conversation - impromptu lyrics
- tuna feat. yung harlyy (luna diss track) - lil jaldo lyrics
- wintersessie 2020 - zwangere guy lyrics
- still f.o.t.z.e. - destroy degenhardt lyrics
- fidelity - roy shiels lyrics
- not a number - mirei lyrics
- altató - filo lyrics
- say it's not true - queen + paul rodgers lyrics
- xəyalına ithafən - tuncer ali lyrics